Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

Image 1
Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima
Waziri
Image 1
Mhe. Mwanaidi Ali Khamis
Naibu Waziri
MoCDGWSG slide photo
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Mkaundi Maaalum Dkt. John Jingu, tarehe 24 Oktoba, 2025 amegawa pikipiki nane (8) kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii wa ngazi ya kata mkoani Njombe huku akiwataka Maafisa Maendeleo ya Jamii Mkoani Njombe kutunza na kutumia kwa umakini pikipiki walizopewa na Serikali kwa ajili ya kuboresha utendaji na utoaji huduma kwa wananchi.
MoCDGWSG slide photo
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Wakili Amon Mpanju tarehe 24 Oktoba 2024 amekabidhi pikipiki nane (8) kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii mkoa wa Geita kutpka Kata za Muganza, Kigongo, Lwamgasa, Shabaka, Uyovu, Namonge, Masumbwe na Lulembela katika hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa huo.
MoCDGWSG slide photo
Naibu Katibu Mkuu kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Wakili Amon Mpanju akikabidhi pikipiki Leo tarehe 24 Oktoba 2025 kwa maafisa maendeleo ya jamii katika Mkoa wa Kagera na kusema maendeleo ya kweli yapo kwa wananchi, hivyo ni muhimu watumishi hao kuwafikia hadi ngazi za vijiji.
MoCDGWSG slide photo
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Felister Mdemu akimkabidhi kofia ngumu ya pikipiki Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Rukwa, Mhandisi Daudi Sebyiga kamaishara ya kumkabidhi pikipiki nane (8) kwa Halmashauri nne za Mkoa wa Rukwa kwa ajili ya Maafisa Maendeleo ya Jamii wa Kata tarehe 24 Oktoba, 2025, hatua inayolenga kuwawezesha maafisa hao kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi zaidi katika kuwahudumia wananchi.
MoCDGWSG slide photo
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Felister Mdemu ( wa pili kulia), amekabidhi pikipiki nane (8) kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri nne (4) mkoani Songwe tarehe 23 Oktoba, 2025 huku akiwataka Maafisa Maendeleo ya Jamii kufanya kazi kwa bidii, uadilifu na kujituma zaidi.
MoCDGWSG slide photo
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu tarehe 22 Oktoba, 2025 akikabidhi pikipiki kumi (10) kwa Maofisa Mendeleo ya Jamii Mkoani Iringa.
MoCDGWSG slide photo
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Felister Mdemu tarehe 22 Oktoba, 2025 amekabidhi Pikipiki kumi na mbili (12) kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii katika hafla fupi iliyofanyika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya lengo kuu ikiwa ni kuwasaidia Maafisa hao hasa wanaoishi vijijini kuzitumia kuwafikia wananchi na kuwahudumia kwa wakati.
MoCDGWSG slide photo
Baadhi ya waananchi waliowezeshwa mafunzJamiio ya ushonaji katika Chuo cha Maendeleo ya Jamii Rungemba wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Felister Mdemu alipotembeea kukagua uendeshaji wa miradi Chuoni hapo Oktoba 17,2025 Mkoani Iringa.
MoCDGWSG slide photo
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu akiwa katika picha na Wazee wanaolelewa katika Makazi ya Wazee Wasiojiweza cha Tushikamane Pamoja Foundation yaliyopo Kata ya Kwembe, Manispaa ya Ubungo mkoani Dar Es Salaam tarehe 15 Oktoba, 2025 wakati wa ziara yake katika Makazi hayo .
MoCDGWSG slide photo
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt John Jingu akipokea tuzo ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mchango wake katika uboreshaji huduma za ustawi wa Jamii wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Ustawi wa Jamii katika Viwanja vya Chuo cha Ustawi wa Jamii Kijitonyama Dar Es Salaam Agosti 30, 2025.
Image 1
Dkt. John Jingu
Katibu Mkuu
Image 1
Wakili Amon Mpanju
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii na Makundi Maalum
Image 1
Bi. Felister Peter Mdemu
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jinsia na Wanawake

HUDUMA ZETU

Malezi ya Kambo na Kuasili ...
AFYA YA AKILI NA MSAADA WA KISAIKOLOJIA Afya ya Akili, Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii, ni huduma endelevu inayolenga kukidhi mahitaji ya mtu kim... ...
Usajili wa vituo vya Kulea watoto mchana na Watoto Wachanga  UTARATIBU WA USAJILI WA VITUO VYA KULELEA WATOTO WADOGO MCHANA NA WATOTO WADOGO 1.0 Uta... ...
HUDUMA KWA WAZEE HUDUMA KWA WAZEE NCHINI Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Makundi Maalum kupitia Idara ya Ustawi wa Jamii inarat... ...
Usajili wa Makao ya Watoto   VIAMBATISHO VYA USAJILI WA MAKAO A: MWOMBAJI  BINAFSI Barua ya maombi ya leseni  kwenda kwa Mkurugenzi wa Halmashau... ...
USAJILI WA VITAMBULISHO VYA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO Zoezi  la  utambuzi  na  usajili  wa  wafanyabiashara  ndogondogo utasimamiwa  na  Mratibu ... ...
Usajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali USAJILI WA NGOs TARATIBU ZA KUSAJILI MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI (NGOs) TANZANIA BARA A. MASHIRIK... ...
Usuluhishi wa Ndoa na Familia ...

KAMPENI

HABARI MPYA

DKT. JINGU AWATAKA  MAAFISA MAENDELEO YA JAMII NJOMBE KUBORESHA UTENDAJI.
DKT JINGU AWATAKA  MAAFISA MAENDELEO YA JAMII NJOMBE KUBORESHA UTENDAJI. Na Mwandishi Wetu WMJJWM- Njombe Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Mkaundi Maaalum Dkt. John J ...
25 Oct, 2025 Soma Zaidi
MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAASWA KUTUNZA PIKIPIKI.
MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAASWA KUTUNZA PIKIPIKI.   Na Mwandishi Wetu WMJJWM- Geita   Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na makundi maalum Wakili Amon Mpanju ame ...
25 Oct, 2025 Soma Zaidi
WAKILI MPANJU AWATAKA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII KAGERA KUSHIRIKIANA NA WADAU KATIKA KULETA MAENDELEO
  WAKILI MPANJU AWATAKA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII KAGERA KUSHIRIKIANA NA WADAU KATIKA KULETA MAENDELEO Na Mwandishi Wetu- WMJJWM Kagera Naibu Katibu Mkuu kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jins ...
24 Oct, 2025 Soma Zaidi
MAAFISA MAENDELEO YA JAMII TUTUMIE PIKIPIKI KUONGEZA UFANISI KAZINI-MDEMU
MAAFISA MAENDELEO YA JAMII TUTUMIE PIKIPIKI KUONGEZA UFANISI KAZINI-MDEMU   Na Mwandishi Wetu WMJJWM-Rukwa   Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum F ...
24 Oct, 2025 Soma Zaidi

TAARIFA KWA UMMA

29 May 2025
fomu ya kujiunga na masomo katika chuo cha buhare,monduli,ruaha,rungemba,mlale,uyole,2025/2026
29 May 2025
fomu ya kujiunga na masomo katika chuo cha maendeleo ya jamii misungwi na mabughai 2025/2026
13 May 2025
tangazo kwa wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana kuchukua vyeti vyao
19 Dec 2024
tangazo kwa mashirika yasiyo ya kiserikali
8 Aug 2024
kulaani vitendo vya unyanyasaji wa wasaidizi wa kazi za ndani

MATUKIO

Namba za mawakala wanaosambaza vitenge vitakavyotumika kushona sare katika siku ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, 8 Machi 2025, Arusha
Event Date : 12 Feb 2025 - 08 Mar 2025
12 Feb, 2025 Soma Zaidi
Namba za mawakala wanaosambaza vitenge vitakavyotumika kushona sare katika siku ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, 8 Machi 2025, Arusha
Event Date : 12 Feb 2025 - 08 Mar 2025
12 Feb, 2025 Soma Zaidi
Taarifa muhimu kuhusu vitenge vitakavyotumika kushona sare kwa ajili ya maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani machi 8, 2025, Arusha
Event Date : 12 Feb 2025 - 08 Mar 2025
12 Feb, 2025 Soma Zaidi
Maadhimisho ya Kimataifa ya Siku ya Wanawake Duniani
Event Date : 11 Feb 2025 - 08 Mar 2025
11 Feb, 2025 Soma Zaidi
SIKU YA KIMATAIFA YA KUPINGA UKEKETAJI
Event Date : 06 Feb 2025 - 08 Feb 2025
06 Feb, 2025 Soma Zaidi